Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kheeeee kheeeeee Kheeeeeee kwenye hiyo Rambo uliyobeba kunani!? Nasikia unatembea na tindikali siku hizi hahahahahah lol!!!! eti unawavizia BAK na Mbu kwi kwi kwi kwi.....Mkuu tulizana banaaaa it is just a game mbona unanuna hivyo banaaaa....acha hizoooooo. Unafanya hata BelindaJacob aogope kupita huku siku hizi maana kumekuwa kama jukwaa la siasa...peace & harmony iliyokuwepo watu kutaniana, kukejeliana kwa vicheko taratibu inaanza kupotea.

I would never take it personal.....

As I know this is just football....

Cheers goon.....
 

Chifu, kwangu mimi vicheko na utani haviwezi kunitoka.....

Naelewa huu ni mchezo tu.....
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK

......hehehehhhh
Yaani kanipa jibu mwenyewe
Nimenywea...

Haya sasa, Swansea #Moja wao #Nunge ....

Sijui atawanunia wangapi!
Am out mpk filimbi ya mwishooo
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Leo sitaangalia MANURE najua kitakachowapata nitakuwa hapa Jamvinikuangalia update.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…