Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuanza kavukavu ni ishara tu kwamba mwanzo mbaya.

Na kama Barca wanataka magiure what's so important kwake? Si aende!
 
Pre-season imeanza kambi haina sura mpya ata moja...NGOJA TUONE iyo game ya Taiwan itakuake
 
Inabidi msajili zaidi ya wachezaji 8 dirisha hili
Tofauti na hapo msiingize timu uwanjani, walai vile. Mtapelekewa moto hadi na waliopanda daraja

Alafu rashford, Bruno, magwaya, Fred hawa hawakutakiwa kuwa na likizo kabisa
 
Msiwe na wasiwasi na kikosi,mambo mazuri yanakuja,japo mwanzo hatuwezi muelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…