Nachompendea huyu ETH ni kutumia vijana tutegemee kuona akina Mej Arab😂 Meaxence Melo, Dr Mengi Mbaoyakijani, Rashid Makame, na vijana wengine wakipandishwa kikosi cha wakubwa
Mifumo ya kisasa hata haina formation moja, ndani ya mechi inaweza badilika hata mara 5, Kuna Formation ya kukabia, formation ya Build up, formation za counter etc.