Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sky sport,sancho kulia,tony kushoto,vipi kuhusu elanga,martial,rashford???itajulikana tu
 
Sky sport,sancho kulia,tony kushoto,vipi kuhusu elanga,martial,rashford???itajulikana tuView attachment 2267378
Antony preferred foot ni left, akikaa RW ndiyo itafaa zaidi, kwa winger anayetokea kulia ukiacha kumwaga maji kama anaingia ndani ya box mguu wa kushoto ndiyo unahitajika kuwa na nguvu zaidi. Ila kocha ndiyo anajua zaidi atamtumia vipi cha muhimu wachezaji wapangwe kulingana na uwezo. Squad depth ni muhimu, Rashford na Elanga wabaki, Martial auzwe akikosa timu atolewe kwa mkopo + buy option. Amad atolewe kwa mkopo Championship + United walipe full salary, Pellistri abaki.
 
Kuna taarifa kuwa hataki kuj Man UView attachment 2267421
Ukisikiliza Realiable source mkuu inapunguza sana stress. Hao Goal hawana issue kabisa.

Jana reporter mbalimbali wali report Spurs hawamo kwenye mbio za kumsajili Eriksen, hata inter Conte na Eriksen hazikuenda sana, sana sana Alichezeshwa tu Pembeni.

Leo Simon Stone amereport Man U wapo kwenye mbio, kuna Possibility kubwa Akaja kwetu.

 
Eric na FDJ ni uhakika 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…