Piga chini bado de gea, martial, maguaya na shaw wana quality lakn hatuhitaji tena hawa watu wanaturudisha nyuma project failure hawa waje vijana wengine
Hili li timu kama mambo ya football yamewashinda achana nayo ,fanyeni mambo mengine ,azinsheni hata timu ya kuogelea ,au mieleka ....uwanja inakuwa hapo hapo OT