Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na akija kuwa kimeo wataimba
Liverpool na ubahili wao wote wamemwaga Β£80million + Β£20 mill kalibia Β£100 million Kwa Darwin πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...!

Siku hizi hakuna mchezaji cheap ,labda ukanunue wachezaji wa mafungu kama wa arsenal,pepe,sijui ordegard ....
 
Mpira wa sasa hela ndo inaongea.

Wachezaji kuuzwa juu ya €100M utaanza kuona kawaida.

Man Utd ibadilike, itoe mpunga watu wafanye kazi.

Nina uhakika ETH anatafuta cheaper options maana watu wa uhakika huwezi wapata kwa hela ya mbuzi.
Ibadilike vp msimu uliopita tumesajili Sancho kwa pesa ndefu varane na Ronaldo....sasa ww unataka itoepesa kias gan au unataka tuwe kama PSG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa carlo ni bonge la manager huwezi fananisha na mapimbi wengine.
 
Kocha alisema anatamani mpaka pre season inaanza awe kapata wachezaji anaowataka ila mpaka leo hamna hata mmoja aliekuja na zimebaki wiki 2 sijui.
sasa kama de jong hadi leo hawajamchukua hao wengine itakuwaje?? tusishangae tukaanza msimu bado tunapambana na mchezaji mmoja.
Liver kaingilia dili letu hata wiki haijaisha washabeba tunasema hatuna haraka hahha okay wacha tuone ila binafsi sielewi wanataka kusajili nini mpaka sasa.
 
Kuwa mpolee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man City wanataka wafanye swap deal ya BS na De jong. Yaani Man u kwenye usajili unasubiri tuu deadline uone wamefanya nn ukiwafuatilia utalia
Yani Barcelona ni lazima auze, hawezi kuswap na City unless kutokee maajabu na mtu Atoe mpunga awape Barca. Kifupi hawana hela ya kumleta Lewandoski, Kessie, Christensen, Azpilicueta etc. Na wama deni la kutosha, inabidi wauze.
 
Kongole mkuu ila jaribu kuimarisha mwandiko wako
 
Timu ya usajili ya Man United haiko makini tusidanganyane mkuu.
ukiondoa msimu wa 2007/08 ni dirisha lipi jengine la usajili tulilofanya vizuri, tulimsajili tevez, anderson, hargreavez, luis nani, rafael na fabio. Muda mwingi tulikuwa tunabebwa na nguvu ya sir alex. Wachezaji aliowasajili alitumia nguvu yake ya ushawishi kwa kufanya nao mazungumzo binafsi au wazazi wa wachezaji
 
Man City wanataka wafanye swap deal ya BS na De jong. Yaani Man u kwenye usajili unasubiri tuu deadline uone wamefanya nn ukiwafuatilia utalia
Ukisema hivyo matumbo yananiuma, naudhuka sana.

Nina hasira Sana na Liverpool sijui Kwa nini
 
De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%
 
De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%
De Jong hajagoma, yeye yupo huru kuondoka au kubaki, shida ni barca wanataka €85 sisi tulipeleka €60 + €10 kama adds on offer ambayo barca waligoma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…