Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazee leteni uchanguzi, tetesi na chchte kuhusu united....napenda sana kusoma mnachoandika
 
De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.
 
De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.
Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
 
Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..

Pale katikati tunahitaji composure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..

Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
 
Hii safisha ikifika kwa Jones nitafurahi nasubiri tu hapa hata Maguire pia fresh tu.
Ingawa sipendi tunachelewa kusajiri sana tunaanza mambo yale yale msimu unaanza tumesajiri mtu mmoja tu.
 
Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?
 
Hii safisha ikifika kwa Jones nitafurahi nasubiri tu hapa hata Maguire pia fresh tu.
Ingawa sipendi tunachelewa kusajiri sana tunaanza mambo yale yale msimu unaanza tumesajiri mtu mmoja tu.
Maguire ndio hatumpendi..lakini kuondoka this summer ni ngumu kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano..very impossible.
 
Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?
Mimi sijaona haja ya kutaka kumsajili De Jong..

Mimi nataka tusajili DM kitasa(World class kabisa)..then tucheze na two 8's Fred + Fernandes..Fred akicheza juu ni mtu mwingine kabisa na pia agressiveness yake itasaidia kiungo kibalance vizuri.
 
Hili swala sionag uhalisia kbsaa angalia Timu ka City viuongo wake wengi soft tu Rodri ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindwe
 
Hili swala sionag uhalisia kbsaa anhalia Tim ka City viuongo wake wengi soft aro Rodriguez a aye cheza apo n simple tu ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindwe
Ukisema tu viungo wa City ni soft pekee utakuwa unakosea..Nyuma yao yupo Rodri na hao kina Bernado wanaficha mali(mpira) kuliko kawaida..huwezi kumlinganisha Bernado na VdB au De Jong linapokuja swala la kuficha mpira na kutunza possession,plus kukokota.
 
If Ronaldo loves Man Utd He should find another club and leave, or TEN should go for a forced sell, find a club, agree fee, collect money and push him out.

Otherwise he is going to be a symbol of the PAST and a stumbling stone.
 
De jong pia mzur kuficha mali kwa mech chache nilizo muona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…