Manchester United (Red Devils) | Special Thread

timu yetu imepoteana ndo mana kila mechi ilionekana ya muhimu hata isiyo na umuhimu unasemea penalty ya psg ? hata lukaku amgefunga
 
Ki
Kiuhalisia Ronaldo this team ameigharimu timu kuliko margure na wenzie??

Mimi Kwa mtazamo wangu cr7 ndiye ameibeba team na anastahili armband
 
Mhuu Anderson hajawahi kuwa na calibre hiyo. Ukiondoa Ole na Javier labda kidogooo huyo Marcus
 
Siku Rangnickeledeon anakubali kwenda Austria nikasema timu inaenda shimoni zaidi kwakua hata anayetakiwa kua mshauri hana imani na project nikaambiwa mshauri anaweza akawa kocha huku anashauri.

Leo yametimia. Kwanza nilikua sahihi siku zote nilivyosema united shida ni makocha na siyo wachezaji, timu ikiwa na world class players watano tu hiyo timu itasumbua nje ndani sasa united inao 7 au zaidi lakini performance ni comedy.

Nyinyi kocha wa kuja hapo alitakiwa awe Gasperini anakupa assignment unamletea drama anakubonda. Muulizeni Papu Gomez anamjua huyo mtu
 
Trust the process
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…