Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daemushin: anyupdate kuhusu Timber and analysis?
mpaka muda huu hakuna taarifa yoyote kubwa. Timber atakupa option ya kucheza nafasi mbili hadi tatu kwa kiwango cha juu nazo ni RB, CB na DM. Endapo eric bailly na wan bissaka watapata timu na kuondoka basi jurrien timber atatosha kuziba nafasi za hao wawili.
 
Juan Mata
Phil Jones
Aron Bissaka
Jesse Lingard
Edson Cavani
Nemanja Matic
Paul Pogba

Confirmed wanaondoka United.
juan mata anaweza kupewa mkataba mpya, nimevutiwa na mahojiano yake aliyoyafanya ndani yake amezungumza mambo mazito sana kwa lugha ya kiutu uzima. Structure ya manchester united ipo mahututi.
 
Nitajieni mechi 3 tulizoshinda bila ya ronaldo baada ya kusajiliwa kwake. Cristiano Ronaldo huenda akakosekana kwenye mchezo wa leo kutokana na majeruhi aliyoyapata.
 
Conference inawaita kwa sauti kuu

Viva crystal palace viva zaha

 
Dah hii timu itakuja huwa watu hii yani watu walikuwa wana hali mbaya kweli kweli watu walikosa amani kabisa


Leo watu hawa amini kama inacheza anyway

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
 
Dah hii timu itakuja huwa watu hii yani watu walikuwa wana hali mbaya kweli kweli watu walikosa amani kabisa


Leo watu hawa amini kama inacheza anyway

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
Wale wanajeshi 2500 wa Ukraine waliojisalimisha juzi kwa jeshi la Urusi moja ya sharti lao kabla ya kujisalimisha ilikua ni kuruhusiwa waone mechi ya mwisho ya manchester united vs Crystal Palace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…