Rais wa la liga bado anaendelea kuweweseka mpaka dakika hii, bado haamini kama mbappe kylian amekataa kwenda real madrid. Wamewakosa haaland erling na mbappe kylian.
mpaka muda huu hakuna taarifa yoyote kubwa. Timber atakupa option ya kucheza nafasi mbili hadi tatu kwa kiwango cha juu nazo ni RB, CB na DM. Endapo eric bailly na wan bissaka watapata timu na kuondoka basi jurrien timber atatosha kuziba nafasi za hao wawili.
juan mata anaweza kupewa mkataba mpya, nimevutiwa na mahojiano yake aliyoyafanya ndani yake amezungumza mambo mazito sana kwa lugha ya kiutu uzima. Structure ya manchester united ipo mahututi.
LA LIGA wameishitaki PSG kuhusiana na kylian mbappe. haya ndio madhara ya kutegemea nguvu ya mchezaji ndio ibebe ligi husika kiushawishi. la liga wanakwama wapi
Nitajieni mechi 3 tulizoshinda bila ya ronaldo baada ya kusajiliwa kwake. Cristiano Ronaldo huenda akakosekana kwenye mchezo wa leo kutokana na majeruhi aliyoyapata.
Rais wa la liga bado anaendelea kuweweseka mpaka dakika hii, bado haamini kama mbappe kylian amekataa kwenda real madrid. Wamewakosa haaland erling na mbappe kylian.
Wale wanajeshi 2500 wa Ukraine waliojisalimisha juzi kwa jeshi la Urusi moja ya sharti lao kabla ya kujisalimisha ilikua ni kuruhusiwa waone mechi ya mwisho ya manchester united vs Crystal Palace.