Bora ku-block source zote za habari za United. Inakera halafu utashangaa wachezaji wanaokuja ni tofauti na tunaowaona kwenye tetesi.
Yani so far there's nothing good being a United fan, timu haichezi vizuri, hatusajili wachezaji wazuri, wachezaji waliopita wanakatisha tamaa yani hata akija mchezaji mpya tayari unakuwa na doubt huenda naye atafeli.
Yani kwa kifupi Manchester United gives negative vibes.
Yaani ukiwa masikini nzi huwa rafiki yako.
Yaani tumedharaulika hadi adidas wanatutengenezea jersey kwa vitambaa vinavyotumika kuweka mifuko kaptula za timu wapinzani!
Ten Hag njoo uokoe jahazi huku.