Manchester United (Red Devils) | Special Thread

 
Once a driving force, Bruno Fernandes has been reduced to a niggling presence who appears more intent on debating decisions with officials and trying to win cheap fouls than making meaningful interventions in matches.
 
Lawama kwa mashabiki kwann wamekuja uwanjani wamevaa nguo 😂😂
 
Tuchel akamuingiza silva tukamkanyaga nne
Aliyewapa ushindi ni yule mpuuzi sarr sio kwasababu ya silva kitendo Cha sarr kuendelea kucheza mpaka mwisho wa game ndio ukawafanya muongeze goal 2 kuna moja Thiago kaokoa vizuri yule mpuuzi sarr akampasia tena mshambuliaji wa Arsenal akafunga
 
Aliyewapa ushindi ni yule mpuuzi sarr sio kwasababu ya silva kitendo Cha sarr kuendelea kucheza mpaka mwisho wa game ndio ukawafanya muongeze goal 2 kuna moja Thiago kaokoa vizuri yule mpuuzi sarr akampasia tena mshambuliaji wa Arsenal akafunga
Mech ya Kwanza Emirates , beki mari na kina kolasinac walimpa sifa Lukazigo
 
Aliyewapa ushindi ni yule mpuuzi sarr sio kwasababu ya silva kitendo Cha sarr kuendelea kucheza mpaka mwisho wa game ndio ukawafanya muongeze goal 2 kuna moja Thiago kaokoa vizuri yule mpuuzi sarr akampasia tena mshambuliaji wa Arsenal akafunga
Hata sisi mechi ya kwanza mlishinda kwakua hatukua na mabeki na viungo wa first 11
 
Football sometimes is like life itself, sometimes you win, sometimes you play draw and sometimes you Manchester United.
 
Nasikia Captain Magure kajivunja hato kuwepo kwenye mechi na Chelsea, hataki kutupiwa lawama za kijinga kila siku wakati timu yenyewe mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…