Kila dakika 10 inakua na goli lake,Leo ndiyo tunathibitisha ubovu wetu.
Liverpool wamekosa UTU na UTULIVUKila dakika 10 inakua na goli lake,
Mpaka mpira unaisha dakika 90 tunakua tushagongwa goli 9.
Liverpool wanopocheza na wafiwa basi wawe na japo na utu kidogo.
Yaani tupo na huzuni ya msiba halafu wanatuongezea msiba mwingine huo sio ubinaadamu kabisa.
Leo tutachapika nyingi tu tena za kutosha haswaas, ila haina maana kichapo cha leo ndio kitawapa advantage yoyote Arsenal kutufunga jumamosi.Sisi ni wabovu ila naapa Saturday tutawapa kipigo cha mbwa koko Emirates hatutakubali kulose games mfululizo
Hovyo kabisaHaki hii sio timu msimu mzima itapigwa 10-0
Utadhami watoto wasio na Mama wala Baba
Nasevu hii commentLeo tutachapika nyingi tu tena za kutosha haswaas, ila haina maana kichapo cha leo ndio kitawapa advantage yoyote Arsenal kutufunga jumamosi.
Kwanza na nyinyi kesho mnachezea nyingi tu, na pia Man United hata ikiwa mbovu vipi hua haikubali kufungwa kizembe na Arsenal ni bora ifungwe na timu zote za ligi ila sio nyinyi misukule ya Arteta.
Liverpool anatimu ya kawaida Sana ,sitashangaa mkimsimamisha pale pale anfield.....kwanza mambo ya anfield ni overratedbenefica kajipigia pale goli 3 ....
Liverkuku utulivu wanao ila UTU hawana kabisa hawa wahuniLiverpool wamekosa UTU na UTULIVU
Kila dakika 10 inakua na goli lake,
Mpaka mpira unaisha dakika 90 tunakua tushagongwa goli 9.
Liverpool wanopocheza na wafiwa basi wawe japo na utu kidogo.
Yaani tupo na huzuni ya msiba halafu wanatuongezea msiba mwingine huo sio ubinaadamu kabisa.
Unategemea nini mkuu? Mashabiki wote humu wamekaa kimya walikua wanamatumaini hewa , narudia tena na tena, tutaenda kuangalia mpira wa kitaalam kama kwanza fegi na genge lake wameondolewa, pili wamiliki manyani wameondolewa, na tatu wachezaji mizigo aka magunia yanaondolewa. Ni ajabu sana sehem mashabiki wa man utd wanataka chanel ibadilishwe wamechoka
Kweli first leg si mlimfunga?Leo hatufungwi nakwambia.liva Jana kikosi Cha kutufunga.
Wee jamaa nimecheka SanaKila dakika 10 inakua na goli lake,
Mpaka mpira unaisha dakika 90 tunakua tushagongwa goli 9.
Liverpool wanopocheza na wafiwa basi wawe japo na utu kidogo.
Yaani tupo na huzuni ya msiba halafu wanatuongezea msiba mwingine huo sio ubinaadamu kabisa.