Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata Kama Ni Mechi Chache Lakini Sidhani Partnership Ya Maguire Na Lindelof Ikicheza Izo Mechi Tisa Mfululizo Ina Huo Uwezo Wa Kuruhusu Magoli Matatu Tu Ya Kufungwa.
Tumecheza mechi 11 tukafungwa Goli 2 tu msimu wa 2019/2020 baina ya January na March tena tukicheza baadhi ya mechi ngumu kama Man City mara 2, Chelsea mara 1, wolves mara 1.

At that time Matic Karudi toka Majeruhi yupo on Form Vibaya Mno.
 
Umemkosea sana Mzee fergie Aisee. Kama Fergie angekuwa anasikilizwa Club isingekuwepo hapa.

-LVG anacheza mpira wa Possession,
-Mou anapaki Bus na physical striker (players)
-ole anapaki bus na fast Counter attacking system
-Ragnick mzee kwa kupress na fast Build up

Hakuna hata kocha mmoja hapo anaecheza kama Fergie hapo, na hakuna hata Kocha mmoja alieletwa na Fergie,
 
Astagafirulah Leo Mzee Ferguson amekuwa mjingamjinga


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Oyaa ERIC TEN HAG anatuletea nn na ana falsafa gani ya kiuchezaji....wazee wa soka tupeni madini.
 
Leo dunia nzima inafuraha
Malizia....kwasababu zimepita siku nyingi hatujaona vituko vya beki ghali zaidi na mwenye kipaji cha kipekee duniani....binafsi naenjoy Sana kumuona Maguire pale kwenye ukuta WA nyumbu unyumbuni
hakika Leo dunia nzima lzm ifurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…