Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,731
Sijui unaangaliaga mpira wa wapi yani Rashford aanze mbele ya sancho hehehe ajabu.1.NIMEPENDA HII LINEUP HASA BAADA YA KIJANA LINGARD KURUDISHWA KIKOSINI (NI AIBU KUBWA KWA ELANGA KUANZA MBELE YA MTAALAM HUYU) 1. MAKOSA MAWILI YANANINYIMA RAHA HAPA, RASHFORD ANGEANZA BADALA YA SANCHO, FRED KWA NJIA YOYOTE ALITAKIWA AANZE. POGBA NI MZITO NA VIJANA WA LEEDS WANAKIMBIA SANA..HATA KAMA TUYASHINDA TUTAKIMBIZWA SANA LEO.View attachment 2125029
Dunia nzima inalipuka kwa shangwe.Yani watu wana furaha sana hapa sijui huko yani kweli man u inapendwa sio lwa furaha hizi.[emoji16][emoji16]
Rashford pale ndo amefikia peak uwezo wake kisoka.Next season atafutiwe team nyingine.Sijui unaangaliaga mpira wa wapi yani Rashford aanze mbele ya sancho hehehe ajabu.
ARV bado unasimamia kauli yako kuhusu Sancho na Pogba au tayari umeshaifuta?1.NIMEPENDA HII LINEUP HASA BAADA YA KIJANA LINGARD KURUDISHWA KIKOSINI (NI AIBU KUBWA KWA ELANGA KUANZA MBELE YA MTAALAM HUYU) 1. MAKOSA MAWILI YANANINYIMA RAHA HAPA, RASHFORD ANGEANZA BADALA YA SANCHO, FRED KWA NJIA YOYOTE ALITAKIWA AANZE. POGBA NI MZITO NA VIJANA WA LEEDS WANAKIMBIA SANA..HATA KAMA TUYASHINDA TUTAKIMBIZWA SANA LEO.View attachment 2125029
Sijui sasa hivi una hali gani.......... ongeza maombi may mnaweza kuongeza.Kesho tunashinda bro
Fred[emoji3][emoji3][emoji23]View attachment 2125153
Umeona move ya goli la Elanga?? Au unakuja kukenua tu huku.Mnapata hata kushangilia, mnashangilia kiuoga mnazani wanaweza wakachomoa.