Hawa city ukicheza nao kwa nidhamu ya hali ya juu unawapata wakiwa wazi nyuma muda mwingi. City hawapendi kubanwa wakiwa na mpira.
Bonge moja la mechi hasa kipindi cha pili.
Kops watakuwa wamefurahia zaidi huu ushindi wa spurs kuliko spurs wenyewe.
Game on.
Kuna jamaa mmoja wa liverpool alikuwa anashindia humu
Don Clericuzio sijamuona kitambo sana