Dalot tulidhani atasaidia offensively lakini hakuna cha maana anachofanya..krosi za ajabu ajabu tu anapiga..na kukaba+ positioning tunajua sio wa daraja la juu.Mechi zote hizo mbili kama Shaw angetuliza mat*ko zingekuwa offside badala yake kafanya watu wawe onside. Kuanzia mechi ijayo inatakiwa Maguire na Shaw wakae bench.
Umakini ndiyo kitu mabeki wetu wanakosa. Mtu mwingine wa kuangalia ni Dalot ni heri acheze Bissaka kwa hali tuliyonayo kama tuna uwezo wa kufunga goli moja tu kila mechi basi tunahitaji watu wa kulilinda.
Taja viporo vyakoArsenal tunaingia top4 ( 3 or 4)
Kama hautaki kabishane na baba yako
ila kwa ole nawashangaa sanaWatu wasahaulifu sana leo wanamsifia Oletulikua tunafungwa goli 4 mfululizo mechi zake za mwisho leo wanasema tulikua hatufungwi sana.
Hii timu nionacho matatizo hayawezi kwisha labda ni nature sijui inaamua ila siioni ikisimama tena kwa sasa ni project ya miaka angalau mi4 mbele tena ya kocha wa kueleweka na wachezaji tofauti na waliopo,
jana mpaka tunafungwa Rashford anafanya jogging tu hakabi mpaka mtangazaji ameliongelea tuna wachezaji wavivu sana haiwezekani first half mcheze vizuri sec half mnaharibu tuseme ni mwalimu hata aje pep hapo hao mastaa wetu hawataki kubadilika na wameamua kucheza simple football zao za ole.
Ole presha tu babu lkn alikuw ameifufua team aliweka record nying san mpk alishinda mech 15 mfululizo bila saleWatu wasahaulifu sana leo wanamsifia Oletulikua tunafungwa goli 4 mfululizo mechi zake za mwisho leo wanasema tulikua hatufungwi sana.
Hii timu nionacho matatizo hayawezi kwisha labda ni nature sijui inaamua ila siioni ikisimama tena kwa sasa ni project ya miaka angalau mi4 mbele tena ya kocha wa kueleweka na wachezaji tofauti na waliopo,
jana mpaka tunafungwa Rashford anafanya jogging tu hakabi mpaka mtangazaji ameliongelea tuna wachezaji wavivu sana haiwezekani first half mcheze vizuri sec half mnaharibu tuseme ni mwalimu hata aje pep hapo hao mastaa wetu hawataki kubadilika na wameamua kucheza simple football zao za ole.
Ole kayumba wiki kadhaa baada ya ujio wa Ronaldo.Ole presha tu babu lkn alikuw ameifufua team aliweka record nying san mpk alishinda mech 15 mfululizo bila sale
tulifika wapi sasa zaidi ya top 2? tumpe RR nae miaka mi4 kama Ole ndo tuanze kumkataa ila kwa sasa tunamuonea tu timu ilishajifia.Ole presha tu babu lkn alikuw ameifufua team aliweka record nying san mpk alishinda mech 15 mfululizo bila sale
angemuweka benchi tu si alimuogopa mr yes manOle kayumba wiki kadhaa baada ya ujio wa Ronaldo.
Erling Haaland amefunga magoli 80 ktk michezo 79 Borussia Dortmund (Bundesliga, DFB Pokal, UEFA).jamani mnamfatilia Vlahovic inabidi tupate mtu kama huyu jamaa ni mashine hata halland haoni ndani
Manin.a cheki watu walivyokuwa wanapiga mzigo..Hawa ndo walikuwa wachezaji huwezi amini leo tuna lizigo pale nyuma tumelinunua kwa hela nyingi afu halina kitu mbaya zaidi tumelipa na ucaptainView attachment 2119135
Patrick SchickNajua timu hii ina matatizo mengi..lakini nimeamua kuangalia basics tu..
✓Ronaldo jana alikuwa anaharibu kila flow of play anapojumuishwa kwa kupewa pasi..hawezi kuturn hawezi kupiga pasi nzuri kwa wenzake...sasa mashambulizi yatatokea vipi?...Ronaldo amezeeka next season tujipange..kocha mwenye akili akija usitegemee Ronaldo ndo awe our main no 9.
Kuna game hutegemei sana hata ubora wa kocha kushinda..ndo maana hata kipindi cha Ole tulikuwa na brilliance moments kibao tu na run nzuri ya form..lakini hili liliwezeshwa na wachezaji kucheza basics(kucheza above average).
Again..Maguire,Shaw,Ronaldo wameshindwa kufanya vitu basic mchezoni..na wanachangia pakubwa kwenye matokeo yetu na hivi karibuni.