Umeona, asee Dalot yeah kawa wa moto nakumbuka kipindi cha Ole hakua hata na raha, tulipocheza na AC Millan.
Pogba ukute anavizia Contract, me nataka aende popote pale tupunguze mizigo dressing room
Nina swali dogo, kwa haya matoto na makubwa jinga tuliyonayo kuna yoyote anaweza kuwa Legend wa Man U?
Ukitoa Ronaldo, De Gea.