Tungeacha umimi mbele tuwe threat ya magoli ya teamwork kama Liverpool
Timu zozote tunazokutana nazo zingekua zinacheza kwa uoga uoga.
Sema timu zishaona Ronaldo hamna kitu, Sancho hamna kitu, Rashford hamna kitu, ndio maana hawatuogopi wanatuvamia kama nzi wakijua nyuma kuna kubwa jinga Maguire ndio basi tunakua kituko.