Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Son hawezi kuja kwenye timu la mapimbi kama hili ...

Haaland anataka kushinda Mataji ,nyie hata sahani la carabao hamliwezi ...

Rice Hana ndoto Wala haipendi united Toka moyoni ...
 
Maguire on the table sema Maguire ana kitu chenye mashabiki hatukioni naona.
 
Maguire ni ucaptain au ni nini?? Ila De gea ana make sense labda tuna laana
haiwezekani timu ikawa na majina makubwa na inacheza hivi wallahi yani tatizo limejichimbia chini kama mhimili.
 
Rangnick kumbe mweupe tu..

Limaguire la nini uwanjani?.
May be lindelof akili haijatulia si unajua uvamizi sio poa muda wote unawaza family.

Why, Wan Bissaka asigeuzwe beki wa kati. Yupo vizuri sana in one one ambayo beki wa kati hukutana nao, anakua last defense anayelinda tukipiga counter au dangerous attack.

Huyu bichwa Maguire sipati picha angekua mchezaji wa nje ya England.

Ukute Ralph hana namna. Summer furusha hata kuvunja mkataba.
 
United wakimsajili Son Rasford atapata muda mzuri wa kupigania lishe ya watoto
 
Handball zitakuwa nyingi sana mtu anatuliza mpira kwa tumbo
 
My priorities
1. Declan Rice/ Joao Palinha/ Tchouamen/ Philip's
2. Patrick Schick
3. Sven Botman.
4 Son/ Dominic Szoboszlai
 
Ila bado tunaacha nafasi wazi sana jamaa wangekuwa makini wangeshachomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…