Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bwana mdogo unaweka mno ushabiki mbele tatizo ujamjua chief mkwawa ni nani pita labda jukwaa la tech utaelewa unazungumza na mtu gani nakuona kichwa chako kimejaa makamasi tu kwanza mkuu chief mkwawa anapoteza timu kujibishana na mtu kama wewe kama anajipotezea CV aliyoiweka hapa JF.
 
Mkuu unajichosha bure tu wa shabiki wa man city wengi ni wajuzi tu hapo man city yenyewe daraja imepanda elfu7 sasa pana shabiki hapo hawa madogo utoto mwingi aangalie man united kwanza hii cite ya mwaka gani na city site yao ni ya mwaka gani usijitese bure uyo dogo ni zero grain
 
Kitendo cha kusema man utd huwa anajaza mashabiki full kila game na kuendeleza hio hoja lazima aonekane hamnazo kabisa ,mtu unamuonesha Hadi picha kabisa ila kakaza et united kila game inajaza full ....

Yaani kila game inajaza Tena full ,aisee
 
Hata Wewe utakuwa zero brain tena empty headed ....kama united anajaza full kila game ,
 
Unapunguza idadi ya uwanja wenu sio? Sio 55000 tena ni 53000?

Mpaka 2010 Man City walikuwa na mashabiki 6 tu Nje ya Uingereza wanaotambulika.

Na Uefa mna Average chini ya 50,000 Atendance sometime hata 40,000 hamfikishi.

Na Kocha wenu mwenyewe analia kila siku watu hawaji uwanjani wewe huku Tz eti unapingana na Guardiola uwanja unajaa.
 
Uyu kachanganyikiwa mkuu mwache tu kwenye jukwaa lao yupo peke yake anajichekesha tu kwaiyo kazi yake ni kupiga kelele kwenye majukwaa ya wengine yani jukwaa lao inapita ata wiki kachangia mwenyewe tu kwaiyo kapata athari ya ubongo mkuu medula ina matatizo mpotezee tu.
 
Acha utoto.

Nenda kwenye jukwaa lako ukapige hizi kelele.
 
Point ni moja tu ...

Hapo OT hakuna empty seat ?

Huwa mnajaza full ???

Sisi hatuna fans ndio na hatujazi sawa vip nyie ..,kawadanganye makolo huko et united inajaza full kila game ila sio Mimi the genius..

Usiruke mada yako
 
Nimekupa Data za miaka 10 bado unataka nini? Wewe hujaleta data hata moja zaidi ya picha ya 2020 kipindi cha Korona na polisi waliweka zuio?

Na mada yote hii imekuja baada ya Comment yako ya kwanza kusema Manchester kuna Timu moja tu City, kama umekubali City haijazi uwanja hilo linatosha kuthibitisha Comment yako ya mwanzo haina maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…