Mods futeni huu Uzi ,hakuna timu tana hapa ...hili ni genge la wahuni tu jf ...
Kuna Manchester moja tu duniani, Manchester city ...!
wanataka watu jamii ya ole hahaha wamechoka kukimbizwa jamaa wavivu sana.Hii timu ni shamba la Bibi!. View attachment 2114421
View attachment 2114877
Kweli kabisa
Ndio mlichobakisha kupost mababu zenu
Wanadhaminiwa na tezidume!?Jezi ya Mazoezi kali sana
View attachment 2114881View attachment 2114882View attachment 2114884
View attachment 2114883
Wewe mbumbumbu unafiki li Timu lako ñi kubwaView attachment 2114877
Kweli kabisa
Nambie mbuziView attachment 2114877
Kweli kabisa
Old trafford hairuhusiwi kujaza kipindi cha Corona, ila kikawaida haijawahi kuwa empty siku zote mapema tu Tiketi zinaisha. Na sometime inajaza kuliko hata Uwezo wake.Nambie mbuziView attachment 2114965
Hairuhusiwi kujaza kipindi cha corona ??Old trafford hairuhusiwi kujaza kipindi cha Corona, ila kikawaida haijawahi kuwa empty siku zote mapema tu Tiketi zinaisha. Na sometime inajaza kuliko hata Uwezo wake.
Man city ni Vipara tu kuwe na Corona, iwe xmass, kutangazwa Guardiola, fainali etc.
Hii nusu Carabao, Uwanja ni 55000 ila Attendance ni 33,000 tu
Man u mpaka Europa Inajaza.
Mzee picha kama hizo ,ambazo hamkujaza hapo OT zipo kibao mbuzi ...Old trafford hairuhusiwi kujaza kipindi cha Corona, ila kikawaida haijawahi kuwa empty siku zote mapema tu Tiketi zinaisha. Na sometime inajaza kuliko hata Uwezo wake.
Man city ni Vipara tu kuwe na Corona, iwe xmass, kutangazwa Guardiola, fainali etc.
Hii nusu Carabao, Uwanja ni 55000 ila Attendance ni 33,000 tu
Man u mpaka Europa Inajaza.
Leta final CL mwaka Jana tuone hizo empty seat ....Old trafford hairuhusiwi kujaza kipindi cha Corona, ila kikawaida haijawahi kuwa empty siku zote mapema tu Tiketi zinaisha. Na sometime inajaza kuliko hata Uwezo wake.
Man city ni Vipara tu kuwe na Corona, iwe xmass, kutangazwa Guardiola, fainali etc.
Hii nusu Carabao, Uwanja ni 55000 ila Attendance ni 33,000 tu
Man u mpaka Europa Inajaza.
Fainali UCL ni Neutral haina cha U man city wala U chelsea, obvious itajaa, Stay on Topic tunazungumzia Man City na Uwanja wao unaitwa Etihad.Leta final CL mwaka Jana tuone hizo empty seat ....
Kumbe unasema Europa ,sisi kuliko kucheza europa Bora tukafanye mazoezi ,au wachezaji wakale bata na wake zao ....Europa is for failure team ...
Ndio maana huwezi kuta team kama man city ,psg ,buyern Munich ,real Madrid huko