Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Lile goli angekua bissaka au linderof angeweza asifunge ila maguire hata kulala simple tu kumemshinda kampisha hata kumpush kidogo basi dah bichwa lile.
Limetunyima ushindi jana maana limekaa offside tumekataliwa goli limeshindwa kukaba tumefungwa.
Lile goli angekua bissaka au linderof angeweza asifunge ila maguire hata kulala simple tu kumemshinda kampisha hata kumpush kidogo basi dah bichwa lile.
Limetunyima ushindi jana maana limekaa offside tumekataliwa goli limeshindwa kukaba tumefungwa.