Watu tulioshindwa kuwasajili.
1. Luka Modric
2. Manuel Neuer
3. Wesley Sneider
4. Lewandoski
5. Eden Hazard
6. Lucas Moura
7.Vicent Company
8. David Silva
9. Ikay Gundogan
10. Toni Kroos
Katika kundi lote hili ukiondoa Wesley Sneider wengine wote waligeuka kuwa mihimili ya timu walizoenda kwa misimu zaidi ya 8.