FT imeisha 1 - 1 kwasababu hatutumii vizuri nafasi tunazopata, kufungwa goli 1 siyo shida kama unaweza kufunga 3 na hicho ndiyo tunakikosa.
Mpaka hapa msimu ulipofikia sina cha kuwadai Manchester United zaidi ya top 4 kwenye PL kama ikitokea watashinda kombe lolote msimu huu kwangu itakuwa ni bonus tu. Tuna msimu mbaya sana nategemea tutaanza vizuri msimu ujao.