Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kusema ukweli, linapokuja suala la kujituma na kujitoa kwa ajili ya timu, Danny Welbeck anastahili kucheza kila gemu.....tatizo ni namna anavyoshindwa kufunga nafasi ambazo yeye kama striker anapaswa kufunga.....

#DannyIsALion
 
Si unaona akina Mbu na BAK hawatii mguu huku!! Wakitia mguu tu, watu tunatonesha kidonda cha goli 6

Dahhh....

Mkuu Nzi ya jana we acha tu,
Unajua unapofungwa goli nyingi namna
Ile hata uchungu hupotea na kubakia ganzi tu....

Hongereni, naona wafu mnawazika wafu wenzenu.
 
Last edited by a moderator:
Fletcher is back....

BbiQI5aCYAAeJaT.jpg:large
 
Kusema ukweli, linapokuja suala la kujituma na kujitoa kwa ajili ya timu, Danny Welbeck anastahili kucheza kila gemu.....tatizo ni namna anavyoshindwa kufunga nafasi ambazo yeye kama striker anapaswa kufunga.....

#DannyIsALion

Mkuu hilo tu kukosa nafasi zawazi ndio ananiumiza.
 
Dahhh....

Mkuu Nzi ya jana we acha tu,
Unajua unapofungwa goli nyingi namna
Ile hata uchungu hupotea na kubakia ganzi tu....

Hongereni, naona wafu mnawazika wafu wenzenu.
#COYG forever.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dahhh....

Mkuu Nzi ya jana we acha tu,
Unajua unapofungwa goli nyingi namna
Ile hata uchungu hupotea na kubakia ganzi tu....

Hongereni, naona wafu mnawazika wafu wenzenu.

Mwaka huu Man Shitty pale Etihad ni noma...hawashikiki pale....

Ila na nyiye mlilegea mno...goli 6!!

#EPL ya mwaka huu, sijui......
 
Dahhh....

Mkuu Nzi ya jana we acha tu,
Unajua unapofungwa goli nyingi namna
Ile hata uchungu hupotea na kubakia ganzi tu....

Hongereni, naona wafu mnawazika wafu wenzenu.

Pole sana mkuu sisi tuliitwa Man six nyie yafaa muitwe As ex.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom