Hamna wachezaji tena!Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi
Sijui ni kwa nini watu hawalioni hili..Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi
Wacha bwana✓Vibabu viwili kule mbele..
✓Vitoto viwili vya kiingereza on flanks ambavyo vinacheza sometimes kama vitoto vya darasa la kwanza
✓Right back wa hovyo kabisa kuvaa jezi ya Manchester.
✓Impotent midfielders...Too inconsistent.
✓Captain mlevi
✓Kocha maneno mengi.
Hii timu hii itatuua.
Tulia kwanza tufanye gengeni presi ushindi badaeMwakani hatuchezi Uefa champions league.....
Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....
ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....
Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Kweli kabisa,ni machachali tuNina wasiwasi Podence ni mambo mengi kama Pepe mkuu.
Sijamfuatilia sana lakini sioni madhara yake nahisi huyu hatufai kwa sasa. Checki hapo chini kwa harakaharaka
View attachment 2067535
Semedo ni RB,kule atasugua sana kwa SHAOLIN SOCCER ....TTNamba 3 Somedo anafufaa sana
Tatizo wanataka pira kisamvu gengeni presiIliishangaza football world United kumuacha Conte aende Spurs
Kudadadek unapigwa msako mpaka unamuona fredinand yuleeeeee katulia benchDah wakuu naona mshaanza kupagawaFerdinand si kastaafu sahv mchambuzi..kweli kipigo noma
Dahtunajua fika kua amjalala na tumewaagizia kret la mirinda nyeusi uku mje mnyweView attachment 2067557
Hatuna hao wachezaji wa kutengeneza iyo pattern anayotaka kocha...Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....
Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....
ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....
Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Subiri msimu uishe wauzwe waletwe wapya.....Toka kocha aje tumefanya mabadiliko gani ya kutuaminisha tunaenda njia sahihi?
Man U hata aje kocha gani, hakuna wachezaji pale.. mtu kama Wan Bissaka sijui anakupa kitu gani yani, krosi hawezi, kuturn shida.. msimu ushaisha kwa Man u wafanye kuangalia tu kuangalia sajili za msingi za kufanya na kuoff load mizigo iliyojazana paleTumefungwa ila muelekeo umeonekana
Nawaza tu miaka mitatu huko kambini sosha alikua anafundisha nini kaacha timu ambayo haina muunganiko kabisaaa...
Hawa jamaa wanaomlalamikia Ronaldo nashindwa hata kuelewa wanamaanisha wachezaji wengine wote wapo sawa ila Ronaldo ndio tatizo.Messi fan boy trying so hard