Kwa leo Scott McTominay au Nemanja Matic wapewe tu jukumu la Harry Maguire. Japo Phil Jones alikuwa kitasa enzi za Sir Alex Ferguson nowadays amepoteza Imani kwa mashabiki.
kama kawaida, kosi la dunia dimbani na legend wetu mwenye ligi kuu yake begani phil jones mzee wa backhead deffence the balon dor contender, na formation ni 4, 2, 2 ,2. kitaumana