Team yangu ningependa January inapo anza, watu kama magwaya,Fred,lindlof,varane,Anthony Masho,MC tomin, rashid na bissaka, tusiwe nao tuweka watu wapya wenye kasi na wenye uwezo wa kutoa pass za Uwakika hata 8kwenye10, bila ivo tutafukuza makocha kila msimu,