Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afadhali tuko threat zaidi. Angekua masai mabackpasses kama yote. Mmeona hadi De gea kajiunga kupress.

Hapa ndio kocha sasa. Kuua kabisa mpinzani kisaikolojia.

Mechi ijayo ya City pep lazima agawe mbinu sio kuwaambia waache mazoezi hawajui united itachezaje.
 
Leo kwa mara ya kwanza nimeona Maguire anatoa thorough passess kama zote.

Ole alituchelewesha.


Kocha wa sasa ameua defensive mind, now nataka aue Selfishness na Utoto.

Mfano hapo kwa Dalot kulingana na maelekezo naamini alipaswa kupasia aliye kwa postion nzuri.

Kocha adili nao. Akizingua Benchi wajue hamna mwenye timu.
 
Na tumecheza vizuri sana kipindi cha kwanza, watu bado wana feelings za Ole wamesahau kabisa kwamba hawa wachezaji wetu wana kiwango kikubwa kuliko wa Palace sema tu kocha aliwaharibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back passes zilikuwa zinanikera sn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…