Manchester United (Red Devils) | Special Thread

👏👏👏
 
Sikio la kufa halisikii dawa

Alisikika mlevi mmoja akilopoka maeneo ya kona bar
 
Historia ya ole united itakuwa fupi Sana ....


"Alikuja united akazurula zurula badae akafukuzwa "

Hana hata kikombe Wala sahani
 
Kuuza Rashfood, kuiacha taka taka Martial, hayo ni matumizi mabaya ya fedha.

Martial anatakiwa afukuzwe, akigoma, piga risasi ya kichwa, tugombokane nae.
 
Hakuna picha hata moja kocha wenu akiwa ameshika kombe
yaan anakuja kujifunzia man u kama ilivyokuwa kwa OLE na Arteta
Ndio mwalimu wa Klop na Tuchel sasa huyo


By the way Ragnick ana makombe 7 kwenye carrier yake

Na kufundisha timu kama Stuttgart, Hoffenheim, Leipzig sio rahisi kupata makombe huko, hata Pep angeenda kuwa kocha na msaidizi wake awe Klop na Tuchel awe kocha wa viungo wasingepata kombe hata la bata

Kama huamini muulize Klop aliyeishusha daraja Mainz na muulize Tuchel aliyekuwa na kombe 1 (German Cup, ambalo Ragnick kachukua pia) akiwa Dortimund

Makombe mengine Tuchel amechukua akiwa PSG ambapo ilimchukua Pochetino (kocha ambaye alikuwa hajawahi kubeba kombe) siku 6 tu kupata kombe lake la kwanza

Ragnick ni philosopher, trainer of the trainers and a coach of Manchester United.

Inauma but itabidi uzoee


Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 

Nakumbuka alikuwa anajibu swali la yule mpiganaji wa Russia anayeitwa Habib juu ya uamuzi wa Ole kutokuanza na Ronaldo dhidi ya Everton.

Yalikuwa ni mazungumzo ya kawaida tu kati ya watu wawili na bahati mbaya waandishi wa habari wakayatafsiri vibaya maoni ya ferguson,
ukijumlisha na matokeo mabaya ya ile mechi ndio ikawa habari ya mjini.

Hakumfokea kwa maneno makali
 
Hakuna picha hata moja kocha wenu akiwa ameshika kombe
yaan anakuja kujifunzia man u kama ilivyokuwa kwa OLE na Arteta
Kama tungelikuwa na shida ya kocha mwenye CV nzuri ya makombe tungelimpa timu ernest valverde aliyeshinda mataji akiwa Barcelona lakini ndiye aliefeli interview hivyo akaondolewa kwenye list ya makocha wanaofikiriwa.

kinachotafutwa ni muelekeo mpya wa ujengwaji na uendeshwaji wa timu baada ya kufeli project ya Ole ilioaminiwa mpaka dakika ya mwisho na kupewa resources za kutosha ndio maana klabu imemuona Rangnick ni mtu sahihi wa kuanza naye kuliko hao wengineo(fonseca,garcia, n.K)

Hao wengineo wangelikuja na kuanzisha ideas zao zitakazodumu kwa muda mfupi then cycles ikarudi tena vile vile Kama ilivyo mwanzo.

Bodi ya klabu wamejifunza makosa kwa sasa wanaiangalia zaidi manchester ya mbeleni na si hii ya miezi 6, kama wewe na wenzako munaiangalia manchester united ya miezi 6 niwape pole na pia andaeni nguvu ya kicheko cha kutucheka na kutudhihaki kwa sababu upo uwezekano wa kumaliza tena msimu bila ya kombe tukiwa na rangnick lakini naamini atatuacha tukiwa sehemu nzuri sana.

si rahisi kuingiza philosophy mpya ya uchezaji na recruitments process ndani ya timu nzima kwa miezi 6 ndio maana hata klopp ikamchukua muda, bodi imekubaliana na mpango wake wa kumpa nafasi ya ushauri(wasiwasi wangu watampa hata timu) ili aendeleze hicho atakachokianza.

Chini ya project ya Ole tulikuwa tunakwenda kumsajili kieran trippier mwenye miaka 31 kwa paundi million 15 hadi 25 lakini imani yangu inaniambia usajili wa wachezaji aina ya trippier hautowezekana tena chini ya fikra na ushauri wa Rangnick.

Tutasajili wachezaji na kuajiri makocha kwa mujibu wa structure ya uchezaji wetu na si mafanikio yao kama tulivyofanya mwanzoni, Leo hii tuna wachezaji wanaofiti mfumo X na wengine hawafiti mfumo X kwa sababu ya sera mbovu.

Karibu rangnick
 
ralph hasenhüttl
Hili jina tuliweke kwenye kumbu kumbu za vichwa vyetu,
both ralph and ralf ni waumini wazuri wa 4-2-2-2.
  1. ten hag
  2. Pochettino
  3. ralph hasenhüttl
  4. Kocha anayetoka bundesliga
 
Ralf Rangnick wants Lars Kornetka as his Manchester United assistant manager, report Russian outlet Championat.

Rangnick said in a piece with the Coaches Voice that he made Kornetka the first video analyst in Germany in 2007 when he brought him to Hoffenheim.

Rangnick said: “He’s the best video analyst we have in Germany and my friend and colleague.”
 
When Rangnick left the Red Bull group last summer, the New York Times report he established his own consultancy firm, together with Kornetka.

That underlines the closeness of their relationship and Rangnick will need people close to him who he can trust who understand his methods if he is to succeed at United.
 
He had his first taste of life as an assistant manager when he joined Bayer Leverkusen ahead of the 2014/15 season.

That was the year after David Moyes’ United beat the Bundesliga outfit 5-0 on their own patch.

4) He also has experience as assistant manager at RB Leipzig and PSV Eindhoven.

 
Man U mmpata kocha. Sasa mnachotakiwa ni kumpa muda msianze kulalamika kila siku. Halafu pia akianza vizuri msipige sana mdomo kama kawaida yenu.

Jifunzeni kuwa na moderation wakuu. Kinachowaponzaga ni midomo. Kelele mingi sana.
Huu wa kwako utakua ni ushirikina, mdomo mchafu wa DAEMUSHIN aliyepo Makunduchi unachangiaje matokeo mabovu ya manchester united iliopo Ulaya.

Teh teh teh
 
Huu wa kwako utakua ni ushirikina, mdomo mchafu wa DAEMUSHIN aliyepo Makunduchi unachangiaje matokeo mabovu ya manchester united iliopo Ulaya.

Teh teh teh
Sijamaanisha hivyo mkuu. Naongelea kwanini huwa mnapata tabu sana mitaani na mitandaonu team yenu ikifanya vibaya. Nikwasababu mna kelele sana.
 
Tatizo la kushangilia timu za kurithi yaani babu yako alishabikia Manchester na wewe kijana wa miaka 23 unashabikia Manchester
tutawatesa sana subil miaka 30 ijayo ndo mtachukua kikombe kingine cha ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…