Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unajua kinachoiuna man kwa upande wa pili ni hao wanao waita LEGENDARY akina Paulo
Na hao familia ya NEVELIS MTU NA KAKA YAKE HAO AKINA OWENI NA AKINA FARGASON KWA NII WASIACHE NA KUAMINI MUDA WAO UMEPITA NAO WAPITWE? HIKO KITU CHA DNA KIMETOKA WAP? NA KIMEANZA LINI UPUUUZ HUO BARCELONA NDIO WANAO MAN U WAP NA WAP
 
Nyie mnasema tu Eti ki-mbinu. Hana lolote socha.. Socha ni mpole wachezaji wanafanya upuuzi.. hata Bruno aliwaambia mashabiki achaneni na kocha wachezaji ndio wapuuzi... So Socha =wachezaji wapuuzi kina bisaka na beki wenzie .. kuumia kwa bailly ni kazi. Kuumia kwa huyu mgeni kutoka Madrid ninkupiga kazi.... Tena hata Bora huyu mswidish... wengine wapuuzi tu



Unamuona rashford. Juzi aligusa Mpira mara ngapi... Uchambuz unaonyeaha hata kipa(degea) kacheza mpira many times yake....

Halafu nikuache tu... Mnasema tu Ile timu hata mm naiweza..

Unadhani pep ni mpole, kocha wa Liverpool ni oya oya? Tuchi je
 
Wewe huijui man UTD. Tukisema DNA kaa kimya
 
Steve bruce
Mark hughes
Wana uzoefu na epl
 
Ndo kusema??
nimeyakumbuka maneno ya Ole alipokuwa anazungumzia muelekeo wa timu yake anayotaka kuijenga ndani ya uwanjaa mbapo alihitajii kujenga timu inayokimbia sana.

kazi ambayo nadhani imemshinda lakini pochettino aliiweza kupitia timu mbili tofauti.

hilo ndio dhumuni pekee la picha nilioiweka.
 
Timu kubwa zote ziko hivyo except real madrid.

Uliona legends wa Bayern walivyomkalia kooni Guardiola na Carllo Ancelloti au Nico Kovac ?
 
Tunahitaji mtu calibre ya tuchel, guardiola na klopp. Hawa wengine tunapotezeana muda kugombea top 4 tu.
Please muache kuwaza vitu ambavyo havipo....


Tunawaletea mdogo ake Sosha aje awe Kocha.
 
Mpaka unakuwa mzee unakufa team haijabeba chochote...

Hapo ndio utajua mambo YA DNA ni takataka. Wait and see.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…