Kuna mshikaji nakumbuka mwezi wa tisa wakati nasema OLE hafai kitambo yeye anasema OLE ni best cocha, wakati huo man u walikuwa wamevunja record ya unbeaten away run.
De Gea: “It's easy to blame the manager or the staff but sometimes it's the players. It was embarrassing to see Man United play like we did today. It's not acceptable - the way we were playing and doing things”
Goja nimtafute Paul Ince nimsikie anasemeje, yeye from day one aliweka msimamo wake OLE is unfit for the job. Yaani wakati OLE anashinda yeye aliendelea kusema OLE is unfit for the job
Kesho tutashinda ila tukifungwa huenda Ole akafukuzwa, baada ya hapo Mechi itakayofuata tutadraw probably ya chelsea pia tutadraw maana chelsea siyo lethal sana kwenye attack.