Ilikuwa gape la Point 5 kutoka kwa anayeongoza ligi ikasogea mpaka 7 ikafika 9 na sasa ni pont 12. Duu Graph ilikuwa inapanda kwa range ya 2 lakini kwa sasa ni range ya 3, Hataaari Saaana.
BTW naona watu walikuwa wanausubiria mwezi Desemba na ndio huooo! Umeanza.