Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo babaaaaaake🔥🔥🔥🔥🔥.

Sijutii kuwa shabiki wa hili jini.

Bila huyu saivi tungekuwa mkiani kabisa,maana game zote tumechomoka kqa uwezo binafsi wa wa huyu jamaa.

NB; OLE hapaswi kuendelea kuwa hapo Man U, hivi kwanini hata asiamue tu kujiuzulu kama kweli anaipenda hii team?
 
Bailly eti anawekwa nje na Maguire..absolutely nonsense..asingecheza leo bailly tungepigwa hata tano

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama nayaelewa maneno ya Bavaria. Aliwahi kusema Ole anavi-element vya ubaguzi, haiingii akilini wale mabeki wote watatu wakiwa fit eti huyu msenge Maguire ndio anatafutiwa nani wa kucheza nae wakati wote wanamzidi uwezo.

Hata huu mfumo wa kuanzisha mabeki watatu pale nyuma ni namna tu ya kumu-accomodate huyu msenge Harry ila anatugharimu sana. Michezo yote aliyecheza msimu huu ametoa maboko.
 
Hakuna mechi ambayo hatoi boko..anacheza kama choko..captain mzima..

Ole anamuogopa vibaya..

I think back three ya Bailly Lindelof na Varane inaweza kufanya kazi vizuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu cr7 ni kiumbe hatari sana kwenye soka, yn ilifaa tusinunue huyo DM wanayemtaka lkn awepo cr7 cz kukosa ronaldo saizi tupo europa kama kawaida yetu.
Si tulisema ikitokea nafasi ya kumsajili Ronaldo au Messi haijalishi ulikuwa na mpango gani unasitisha ulichotaka kufanya ili utumie fursa ya kuwajumuisha kikosini kwako. Hawa watu wana-deliver regardless ya changamoto wanazokutana nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…