Yani wanataka ronaldo afanye nini ili wampe heshima yake, au kisa ni mchezaji mkubwa basi wanataka kumkosoa tu ilimradi, jamaa anacheza kama kijana wa miaka 18 haoneshi kuzeeka, mechi karibu zote alizocheza za utd tangu kurudi kwake anatubeba lkn mtu anaibuka na kusema eti ni mzigo, huu ni unafki wa kiwango cha makinikia.
Kwanza yupo slow mno, Utd waangalie pa kumpeleka next season, asiwepo kikosini huyu. Mm nampenda lkn hapendeki, anacheza kama yuko peke yake uwanjani wala hajali kabisa, ni aibu sana kucheza kwa style ile, ananiangusha sn.