Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulimwambia akitaka matokeo aachane na 4 2 3 1.
4-2-3-1 ni mfumo mzuri unaoifanya timu kuwa vizuri katika maeneo mawili kwa pamoja: defensively na offensively. Kinachofelisha huu mfumo ni mapungufu ya watu sahihi kwenye namba ya kiungo mkabaji.

3-5-2 ni mfumo mzuri ila ni mfumo ambao kwa timu yetu unaweza usifanye kazi ipasavyo tukikutana na timu imara. Mfumo huu utatufanya tuwe defensively wazuri ila kucheza na playmaker mmoja huku tukiwategemea Shaw na AWB ni kama tutakosa vitu baadhi kwenye huu mfumo. Mfumo unahitaji zaidi LWB na RWB wanaopandisha mashambulizi na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga kwa washambuliaji. Telles na Dalot ni option nzuri zaidi katika mfumo huu.

Kama Ole anataka ku-stick na huu mfumo kwa kuwatumia Shaw na AWB ni heri Pogba akirudi a-switch kwenda 3-1-4-2 ila itabidi McFred ivunjwe sasa sijui nani atafaa kusimama katika DM. 3-1-4-2 itatufanya tuwe hatari zaidi kwa kutumia playmaker wawili Pogba na Bruno maana kule mbele Ronaldo na Cavani wao wanasubiri kutengenezewa tu nafasi za kufunga.

January wafanye wapate DM tu-switch kwenye 4-3-3 naamini hii timu iliundwa kuja kutumia huu mfumo in the future. Next summer I hope tutapata a long-term striker (Haaland).
 
It’s been a super difficult week for Solskjær and he did great job today. Also: players have been so serious and respectful, fighting for him.
#MUFC

He’s been backed by main part of the board & Ferguson. Man United win means he’ll continue also with Atalanta and Man City.

manutd |
#GGMU
 
Ole Gunnar Solskjær speaks before Spurs game: “We’ve put a few more experienced players in the starting eleven. We need to have that experience and a solid foundation to perform from. That’s the main thing”.
#MUFC

manutd |
#GGMU
 
Ole Gunnar Solskjær: “I've been here three years now and Tuesday's training performance from Edinson Cavani was probably the best performance anybody has ever put into a training session here”.
#MUFC


manutd |
#GGMU
 
Nyumbu ni nyumbu tu ....

Tayari yameshakubali ole abaki
Ushindi game Moja,Zilee ole out Zote kimyaaaa
. Kelele za mashabiki haziwezi kufanya lolote kwenye kumfukuza kocha kama bodi isipo amua yenyeweee... Mbali na hapo ni kupoteza muda tuu.Kikubwa Ww ishia kuangalia mechi,ukalale kwenu.
Kuna watu wanajikuta wachambuzii WA sokaa daaah.Bongo bwana
 
na game ya chelsea mje na mfumo huo na beki awe Maguire.

Tutawanyuka hamtoamini Kunguni nyinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…