Laaana ya kumuondoa Van ghaal kimagumashi wakimtaka Morinyo Manu acha wakipate.Van ghaal aliingia EPL pamoja na klop wangemuachia timu ingekuwa mbali.Lakini kwa ubaguzi wao Waingereza acha mjerumani awashughulukie washenzi wale
Manu walimdhalilisha sana Van ghaal yaani aliwaletea Europa Bado wakamfukuza akiwa njiani kurudi.Nina hasira nao hao nguruwe.Klop ameniondolea stress za miaka ileeeee.Jinga manu
Manu walimdhalilisha sana Van ghaal yaani aliwaletea Europa Bado wakamfukuza akiwa njiani kurudi.Nina hasira nao hao nguruwe.Klop ameniondolea stress za miaka ileeeee.Jinga manu