Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe Man U na Arsenal wako sawa, yaani wote wana 14points. Title contender na relegation team zina point sawa!!
 
Hii timu inatia aibu sana, kuanzia leo sitashabikia hii timu mpaka kocha aondoke mana haiwezekani una kikosi kama hiki na bado hueleweki unacheza nn, so mashabiki wa man u kwaherini mpk huyu mbwa wa double pivot akiondoka.
Nlishakwambia mkuu hamia arsenal lakini unatuchkulia poa. Kuanzia msimu wa 2023/2024 Arsenal itakuwa ni kushinda makombe tu shauri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…