Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole inabidi atambue kuna tofauti ya kuwa patience na plan zako na plan kuonekana kufeli, huyu jamaa plan zake zimefeli na hataki kukubali ukweli kuwa zimefeli hazifanyi kazi maana hakuna sababu ya kuchezesha Macfred kama kufungwa kuko palepale sasa analinda nini.
 
Chelsea sisi tukitimua makocha kuna washamba huku mnatucheka, vumilieni tu Ole bado anaijenga timu ya ushindani
 
Hata mimi nimeshangaa
 
Labda wanasikiliza ushauri wa Fergie

They hope to get another Ferguson

Zama zimebadilika sana siku hizi
 

Hivi Mashabiki hawawezi kugomea kutoingia Mechi za Man You, Maana Hata David Moise Tulihangaika Naye Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…