Maguire jana kafanya mazoezi ya ushindani kwa mara ya kwanza na wenzie Ole mwenyewe alithibitisha jana kwenye press alafu leo amecheza....
Ole anategemea experience ya wachezaji wenyewe imbebe.....
Hamna press amewahi kuzungumza mambo ya tactics iwe baada ya game au kabla ya game hajawahi kabisa yeye utasikia ile ilikuwa penalty tumenyimwa mara goli tulilofungwa lilikuwa offside etc.......
fatilia press za makocha wengine unaona kocha anafunguka wamefungwa sababu wamejaribu formation mpya ili kuziba pengo la mchezaji fulani....
Ila sio sisi mara the boys did well, Aston villa player wjo scored was in an offside position, looking to the next game na blah blah nyingine