Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

This is the biggest away win for United in UCL...#recordbreaker

Leverkusen were unbeaten at home since March, 2013....#recordbreaker


You got to love #ManUnited

Mkuu naomba nikupe SALUTI,kama kungelikua na bunge letu watu wa UNITED,ningelikua mtu wa kwanza kukupendekeza uwe MBUNGE wetu.
Umekidhi kiu ya mashabiki wote wa Man United ambao kama mimi walishindwa kufuatilia mechi moja kwa moja.
ASANTE SANA.
 
manutd: That's #mufc 's biggest away win in the European Cup since the 6-0 victory over Shamrock Rovers in September 1957.
 
Last edited by a moderator:
Wacha haters waje. Wanasema timu yeyu mbovu, lakini ni maneno yao kila msimu husema man utd mbovu lakini mwisho tunakuwa mbele yao timu nzuri hahahaha!! Watu kuongoza ligi wamepata kiburi kweli!! Tunarudi katika nafasi yetu!

Kakipiga sana leo huyu mtu...
 

Attachments

  • 1d7114bb1802ed63e5a99cdeb884c0dc.jpg
    1d7114bb1802ed63e5a99cdeb884c0dc.jpg
    54.7 KB · Views: 102
Mkuu naomba nikupe SALUTI,kama kungelikua na bunge letu watu wa UNITED,ningelikua mtu wa kwanza kukupendekeza uwe MBUNGE wetu.
Umekidhi kiu ya mashabiki wote wa Man United ambao kama mimi walishindwa kufuatilia mechi moja kwa moja.
ASANTE SANA.

Karibu chifu
 

aisee hii game jana sijaiona....nimetoka kubeba mabox nimechoka hoi nikakaa naisubiria game ianze,kabla haijaanza nikapitiwa na usingizi!!!!nimekuja kushtuka game imeisha kama masaa 4 yaliyopita naona scores sikuamini....nilitegemea game ngumu sana kutoka kwa wajerumani, sasa sijui MAN UTD ni walikuwa vizuri jana au hawa LEVERKUSEN walikuwa mdebwedo siku ya jana....all in all its a very very good feeling after sunday's disappointment.....
 
aisee hii game jana sijaiona....nimetoka kubeba mabox nimechoka hoi nikakaa naisubiria game ianze,kabla haijaanza nikapitiwa na usingizi!!!!nimekuja kushtuka game imeisha kama masaa 4 yaliyopita naona scores sikuamini....nilitegemea game ngumu sana kutoka kwa wajerumani, sasa sijui MAN UTD ni walikuwa vizuri jana au hawa LEVERKUSEN walikuwa mdebwedo siku ya jana....all in all its a very very good feeling after sunday's disappointment.....

Game ilikuwa tamu sana jana. Mie pia nilicheki kipindi cha kwanza, nilizidiwa na usingizi na kwenda kulala nikiacha ushindi wa 2-0 hadi half time.
 
Back
Top Bottom