Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pole mkuu. Kuna chaliangu mmoja anasema team imekuwa kubwa kuliko Ole. Yani team ipo ila kocha hamna.

Anamtaka Luis Enrique OT.
 
Unakumbuka mou alifukuzwa baada ya mechi gani??


Next week nitakuwa hapa kuchekelea tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Pole mkuu. Kuna chaliangu mmoja anasema team imekuwa kubwa kuliko Ole. Yani team ipo ila kocha hamna.

Anamtaka Luis Enrique OT.
Timu ina talents kubwa sana aisee..full of stars.

Kocha kashindwa kutengeneza balance,system of play,defending system na wachezaji kuwa na ari pamoja na umakini.

Ata Antonio Conte' pia sio mbaya akasuka mipango ya kunyanyua kwapa..hiki kikosi ni aibu kivurugike bila hata ya kikombe cha uji.
 
Mkuu mbona ashatupiga 4 msimu uliopita palepale OT
 
But Erick baily alikuwepo pale nje, kwanini kamlazimisha Maguire kucheza?
Kama angeanza baily na tukapata haya matokeo tusingemlaumu ole kumuacha Maguire kwa sababu tunajua hajapona vizuri au kama kapona Hajapata muda wa kufanya mazoezi na timu.
Yaani mi nimekaa hapa namtafakari OLE simuelewi. Sijui Bailly alimkosea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…