Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

255717649082_status_22352238a55a43e29327e6ca0793b540.jpg
 
Nyie wapuuzi tukija WK ijayo tutawakuta?? au mtatukimbia maana mechi ya mwaka Jana mlieka maandamano hamumtaki mmiliki

Mseme mapema sisi vurugu hatutaki tunataka tuwapige 5 tu tuachane bila lawama
 
Jiheshimu mkuu. Yaani unawaita Leicester wajinga??
ndio leicester city ni wajinga kwa mujibu wa matokeo ya mechi zao ukitoa hii ya leo, tokea ligi ianze hii ni mechi ya pili kushinda.
ujinga wa leicester si upumbavu wa Ole
  1. leicester city wametoa draw dhidi ya crystal palace
  2. wametoa draw dhidi ya burnley
  3. kafungwa europe league
  4. kafungwa na brighton
  5. katoa draw dhidi ya napoli
  6. kafungwa dhidi ya man city
  7. kamfunga norwich
  8. kafungwa na west ham
 
Tukisema kuhusu ubovu wa kocha tunaitwa plastic fans,lakini kwa hali hii kama Ole ataendelea kubwa kocha wa MAN U tutakuja kushituka wakati ambapo tumeshakuwa kama Newcastle, Tottenham na team nyingine ambazo zilikuwa babe zamani ila sasa zimebaki historia.

Itafika muda tutakuja hi team ya kuleta challenge tu kwenye league na sio kuwanis ubingwa.

Hii schedule ya October-November ilivyokaa,kama Ole atapona basi hatawahi kufukuzwa kwenye siku za hivi karibuni.
 
ronaldo amesema hajaja kupumzika (likizoni), hivyo basi tusubirie nguvu yake ya ushawishi labda inaweza kusaidia.
ikiwa ferguson amechukia kupumzishwa kwa ronaldo mechi ya everton, unadhani atafurahia kufungwa kwa ronaldo (mchezaji ambaye alikuwa na uwezo wa kuitafuta furaha sehemu nyengine ila uhusiano wake ndio ukabadilisha upepo wa usajili)
 
Dear Manchester united,
Welcome back to default mode... You played well, leicester win the match and manchester won our liver, kidney, heart etc
 
Man Utd are back to defaults settings... This is the Man Utd we love and Cherish 🤣🤣🤣🤣

Holaaaah to red devils
 
Back
Top Bottom