nikiwa mzigoni huwa ninarecord gemu nikipata nafasi huiangalia
siku ya Alhamisi na Ijumaa huwa napenda kuomba off kazini lakini inategemea na kazi
Sikatai kuwa munatufunga lakini timu kimeo safari hii nyinyi mumeweka tusifungwe na Arsenal mwambie Babu asidanganye eti kufundisha na kupanga timu kwa Moye remote
Endelea kujichekesha hatuwezi kushangilia kuifunga Arsenal ,nyie ndio timu rahisi kwetu kuwafunga Wenger anajua hilo ila nyie mashabiki mnaleta ubishi.Tumeshawafunga 8,6,4,3,2,1 so kuwafunga 1-0 sio jambo la ajabu.
[/B][/CENTER]
BTW nakula holiday tu chacha .... .... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Valencia puts United into the lead 1-0 to United 22nd min