nikiwa mzigoni huwa ninarecord gemu nikipata nafasi huiangalia
siku ya Alhamisi na Ijumaa huwa napenda kuomba off kazini lakini inategemea na kazi
Sikatai kuwa munatufunga lakini timu kimeo safari hii nyinyi mumeweka tusifungwe na Arsenal mwambie Babu asidanganye eti kufundisha na kupanga timu kwa Moye remote
Endelea kujichekesha hatuwezi kushangilia kuifunga Arsenal ,nyie ndio timu rahisi kwetu kuwafunga Wenger anajua hilo ila nyie mashabiki mnaleta ubishi.Tumeshawafunga 8,6,4,3,2,1 so kuwafunga 1-0 sio jambo la ajabu.
Nipo lindo ila mimi ni UNITED damu.
Belo,Mfarisayo na Nzi kupitia kwenu na simu yangu naamini hakuna kitakachoharibika,ntapata updates,matokeo na picha za mtanange huu.
IN UNITED WE TRUST,IN MOYES WE TRUST.