Ni kweli ila ukiondoa ubovu wa Ole, clean sheets sio big deal sana. Kwa upande wa golikipa ubora wake haupimwi kwa clean sheets pekee bali ni uwezo kuzuia idadi ya mipira inayopigwa langoni kwake. Kuna golikipa anaweza kuwa na clean sheets 20 ktk michezo 38 ila zilipigwa shots on target 20 hizo hizo.Wadau wa Manchester United,hili suala la kukosa clean sheet karibia mechi zote tulizocheza linasababishwa na ubovu wa wachezaji wa United kwenye kuzuia au mfumo ( kocha) kwenye suala husika?
Yaani siku hizi kila mechi unatarajia kufungwa walau goli na ndio imekuwa kama utambulisho wetu halafu tunajisifia kuwa ni kings of comeback!
Kuna wakati huwa namuonea huruma De Gea hadi natamani tuwe tunapata droo za 0-0 kuliko kushinda 3-1.
David amecheza misimu 9 EPL kati ya hii amechukua tuzo ya golikipa bora wa msimu mara 5 na golden gloves (top clean sheets) ni mara 1 tu. Ili timu ibebe ubingwa wa EPL inahitaji ifunge magoli 76 na iruhusuhu magoli 38. Hapa ni wastani wa goli moja ktk kila mchezo timu inayoruhusu kufungwa.
Kitu cha msingi ktk kushinda long marathon kama EPL ni winning consistency regardless ya idadi ya magoli unayoruhusu. Binafsi kinachonifanya nimuone Ole ni mtu anayetupotezea muda hana winning consistency kitu ambacho kinakupa ubingwa tunandosha points michezo ambayo hatupaswi kudondosha. Mpaka sasa kwa fixtures tulizoanza nazo tulipswa tuwe na 18 points so far.