Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasubiri maoni yenu.
20210928_180204.jpg
 
My Starting XI vs Villareal Kesho

======

De Gea

Dalot Varane Lindelof Telles

Fred McTominay

Sancho Fernandes Pogba

Ronaldo

=======

Greenwood kwa ule upumbavu wake wa juzi inabidi abaki nyumbani hata benchi simweki.

Back four yetu hiyo is looking very shaky on paper.
 
My Starting XI vs Villareal Kesho

======

De Gea

AWB Varane Lindelof Dalot

Fred McTominay

Sancho Fernandes Pogba

Ronaldo

=======

Greenwood kwa ule upumbavu wake wa juzi inabidi abaki nyumbani hata benchi simweki.
Bissaka si anared mkuu.
 
Ole on Villarreal: "It's still not a must-win game but it's a very important game,"
"The focus is on three points, we've been looking at Villarreal again, looking at what we can do better and how we can improve from the weekend of course."


manutd |
#GGMU
 
Bruno Fernandes: “I think he [Varane] has a great mentality but, at the same time, we cannot forget the other players. Rapha has been brilliant, but Victor [Lindelöf] has had an amazing, brilliant beginning to the season.”

manutd |
#GGMU
 
Hiyo the way we broke up against aston villa inamaanisha liwapanga ili kuja kuzuia mashambulizi ya Villa? Jamani villa wale tuliowadominate tukashindwa tengeneza nafasi au Villa ipi?
bwana ole ukimgusa kidogo anakuletea hadithi za DNA ya manchester united, anachosahau ni kwamba hizo style za kiuchezaji anazozizungumza ni kweli zilifanya kazi miaka ya fergie ila kwa sasa zama zimebadilika.

hata sir alex mwenyewe alikuwa anabadilika kwa kuanzia benchi la ufundi mpaka kwenye mifumo ya kiuchezaji ndio maana aliweza kuleta ushindani kwa muda mrefu bila ya kuchuja, miaka yake 26 ya utawala aliweza kufanya kazi na assistant wanaofika 6 na hao assistant ndio walimsaidia aweze kuendana na mifumo mipya ya kiuchezaji ambayo mwanzoni ilikuwa haitumiki ndani ya klabu (si kwamba fergie alikuwa ni tactical genius).

Nimemkumbuka kenny daglish na wachezaji wake wakiengereza, aliamini dunia hii ndio ile ile ya mwaka 1994 ndio maana akawajaza jamii ya downing na krosi zake ndefu kwa andy carrlo.
Ole anapaswa kujenga himaya kwa kutumia mawazo yake na hicho ndicho alichokifanya klopp, tokea lini waingereza na style ya Gegenpressing

1632846492473.png
 
Pep aliwatumia Benardo silva na KDB katika role moja ya No 10 na akamchezesha kiungo mkabaji mmoja tu......ila sasa Ole anamchezesha kiungo wetu bora (Pogba) kama winga wa kushoto ili Fred na Mc Tomminay wacheze wote wawili wadefence tusifungwe
 
Pep aliwatumia Benardo silva na KDB katika role moja ya No 10 na akamchezesha kiungo mkabaji mmoja tu......ila sasa Ole anamchezesha kiungo wetu bora (Pogba) kama winga wa kushoto ili Fred na Mc Tomminay wacheze wote wawili wadefence tusifungwe
Na hatuna clean sheet ndo tatizo linaanzia hapo ni tusifungwe au anapunguza idadi ya magoli.
 
mechi 4 kati ya 5 zilizowakutanisha villareal na manchester united ziliishia kwa suluhu ya 0-0, mechi ya fainali ya europa iliishia kwa kufungana magoli ya 1-1 (baadae villareal walishinda kwa mikwaju ya penalty)

vile tunavyojiandaa kuingia uwanjani na matokeo yetu kwa kutumia kanuni ya DNA football
FAZLmDQVUAEDQmb
FAZgwdKVcAMMG10

 
Back
Top Bottom