Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sir Alex Ferguson: "He [Paul Gascoigne] signed for Tottenham because they bought his mother a house for £80,000 and, dearie me, I couldn't believe it, you know. He was a fantastic player."

manutd |
#GGMU
 
1632829015428.png
 
inaumiza sana, mtu unaona timu inakosa nguvu na ubunifu, kwenye kushambulia ila kocha anaongelea kuhusu kudefence mashambulizi ya timu pinzani na kuonesha anaridhika na mchango wa Mcfred uwanjani licha ya kushindwa kufanya kitu kwenye nusu ya adui.....

basi bhana
Ole akicheza na timu zinazojishika kidogo anarudisha double pivot, jamaa ni muoga sana
 
bila ya shaka anamaanisha hivyo, atakuja kukumbushwa endapo atashindwa kulifikia lengo hilo
Mkuu kwa mwenendo huu mwakani tunaweza cheza Europa......kuna competition sana pale juu bila ufundi wa kocha hatufiki popote maana rotation badae itahitajika na yeye sio mzuri katika hilo.
 
Back
Top Bottom