Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game mnakalia
Msimu huu tutakuwa tunashinda ushindi ambao unawaacha na maswali kuwa imekuwaje?
.

Na hata ivyo team ya kuchukua ubingwa inatakiwa kushinda bila kujali inashindaje with reference to 2012's season, mnabaki mnapiga kabobo wakati sie tushachukua point zetu 3.


NB: Tukilishughulikia hili swala la kocha tutafika mbali sana.
 
Timu haichezi vizuri mkuu pamoja na ushindi.
 
Kwa mwendo huu, bado mechi kadhaa Ronaldo atawazingua kijiwe cha ufundi.
Jamaa huwa ana uchungu sana akiona team yake inafeli, kichwani mwake amejaza winning mentality.

Ile mechi na Youngboys alishindwa kabisa kutulia kwenye kiti akaenda kutoa oder kwa wachezaji kama kocha,wakati huo kichaa Ole katulia hajui afanye nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…