Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sheria zilibadilishwa ndugu, haiwezekani mkono kuzidi ukunyime goli kwani unaocheza ni mkono au mguu.
Ndio kwanza nasikia toka kwako. Offside position maanake nini? Utakuja kuona kama hiyo ikikataliwa., na kuwa goal disallaw. Afu sijui mtasema sheria zimerekebishwa tena. Muda ni hakimu mzuri sana.
 
mimi nina wawili humu kwa kikosi chetu ukimuacha nje Ronaldo au greenwood nakua sikuelewi kabisa hapa bado mdogo wangu Greenwood furaha yangu ikamilike.
 
VAR decision this tym sio sahihi. Clear kabisa CR7 alizidi mkono. Mdogo mdogo mnaanza kubebwa.
1-1
VAR kwa EPL ni usanii mtupu, Southampton jana walinyimwa penati dhahiri kabisa kule Etihad dhidi ya Man City.

Usishangae Man Utd kubebwa ni kawaida sana, ombea tu nawe Liverpool yako ibebwe penye ulazima.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu ni app gan nzuri ya kuangalia game live online ,,,??? Au mwenye link ya hii game atuwekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…