John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Anafaa Sana pale unyumbuni kabisa mkuuSiungi mkono juhudi za watu kutaka ole aondoke,kiufupi ni wivu tu na fitina .Kila mwanadamu anakosea apewe muda ni world class coach ,sisi washabiki wa team tofauti mapepo mekundu tunamuunga mkono Ole
Qualifying with ease!!!Group jepesi eh?
Unadhani Atalanta na Villareal ni kama Norwich na Fulham eh??
Sawa.Sikia nikwambie kitu , football sio majina tu and tactics tu ,....!
Villareal hawapaki Basi ,wanazuia pamoja ,wanapanda kushambulia pamoja !!
Villareal wakiwa hawana mpira wanarudi nyuma as a team ,na wakipata wanashambulia ,ndio maana wanascore and difficult kufungua ukuta wao ...
Kama ronaldo , Sancho,Bruno sijui Pogba Kama hawatajituma siku hiyo ,kukimbia ,kukaba ,kushambulia ,kuzuia at high energy my friend you will be fuvked out hapo hapo OT ...
Last game against young boys ,ronaldo ,Bruno ,walikuwa hawakabi ,na hawajui kukaba ,that why aliwatoa ,Pogba tu ndio anajitahid kunyanganya mpira waliobaki ni hatari wakiwa na mpira tu ...
Tunaleta pia Mapou Yanga-Mbiwa.Wakuu... Bila kiungo aina ya Scot Parker au yohane Cabaye kweli tutatoboa? Juzi tu hapa tumemuuza felaini mpaka leo pengo lake hatujafanikiwa kuziba.
wake up call ? OLE? hahaha okayHahahahah! Leo umemuita Ole PE teacher, humtetei tena?
Binafsi zile sub mimi naona alijikoroga mwenyewe ila pamoja na threat ya Ronaldo kule mbele bado Young Boys walitupigia mpira safi tu ni kwasababu yetu ya kukaa nyuma. Goli la kwanza ni uzembe wa timu nzima wakiongozwa na kocha wao kucheza kwa kujilinda, tukawapa nafasi ya wao kuvuka mstari bila wasiwasi kwasababu kule mbele alibaki mtu mmoja waliyemdhibiti na wale jamaa angebaki mule wangemuumiza walianza kumchezea hovyo hata akiwa hana mpira.
Ronaldo alitoka uwanjani Young Boys wamesawazisha, kama nilivyosema Ronaldo kubaki peke yake mbele ilikuwa siyo msaada watu walisham-mark. Ole alichofeli ni kucheza kwa kujilinda na kuwatoa wachezaji muhimu kuliwapa nguvu zaidi Young Boys kuzidi ku-press.
Yote kwa yote Young Boys wamempa Ole wake up call, inabidi akaze na awe na plan B za uhakika, Ole ni kama hakujiandaa kucheza na wachezaji pungufu. Sub ya Ronaldo na Bruno pia ilikuwa muhimu kwa mchezo wetu wa weekend, mimi naamini kufuzu ni suala la muda tu ila ligi ni muhimu kwasababu tuna-compete na the best for a long season while UCL at early stages msimu huu tupo group jepesi.
Mtashika mkia trist me.Qualifying with ease!!!
kwa Barcelona wamechemka, nazan waliangalia jina tuShida ilianzia hapa,yaani hamfikiriwi kabisa kama na nyie washindani.View attachment 1940273
muambie ole vyote ila sio kubadili formationTimu ilikuwa ina Shaw,Lindelof na Maguire so kocha alikuwa anaweza switch to back 3 kumtoa Sancho ilikuwa sawa I think alipaswa kumuacha VDB kuongeza nguvu midfield sababu tulikuwa na 3 luxury players(CR7,Bruno & Pogba) ambao sio wakabaji
Second half Young Boys walidominate katikati walikuwa wanacheza against Fred .Hakukuwa na sababu ya kuingiza mabeki 2 (Dalot & Varane) angemwacha VDB au amuingize Matic kuongeza nguvu katikati
Chelsea huwa anatufunga kwa kubahatisha ,akikutana na city huwa anapumulia mipira ....
Wait and see this round
Wewe c ulisema Man u imepewa group jepesi!! Now unabadilisha? Wewe co wa kupewa attention hata kidogo huwa una ndimi nyingi.Nimeishia hapo "group jepesi "
inaonekana huwa unaangakia mpira LiveScore ...
Pole sana
Sosha mitano Tena😂😂😂😂jana ametudhalilisha sana,
There is no excuse with these players anymore. None.
==========
We kweli nzi.Come down Reds; it’s just the first game. We have 5 more to come.