Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli Ze dudu atakuwa hashangilii sana akicheka kinafki hivi kama Manara siku ile wananchi walivyotandikwa siku yao ya kuzaliwa


Nawaza tu kwa jicho la 3
 


"Sio kocha c lolote mbwa huyu"
 
Hahaaa, eti kupanga koni!
 
Mwanitesa utd Vip Babu alikuwepo uwanjani leo nacheka saaaaana ha ha ha hahaha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…