Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pale baada ya red pia angeweza kumtoa vdb aingie Greenwood, pia angemtoa bruno/pogba aingie Varane zen tungecheza hata 4-4-1 mana CR7 kule mbele aliwaweza, lahaulaaa kocha akamtoa na CR7 mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kweli Ze dudu atakuwa hashangilii sana akicheka kinafki hivi kama Manara siku ile wananchi walivyotandikwa siku yao ya kuzaliwa[emoji848]

Nawaza tu kwa jicho la 3 [emoji87]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

"Sio kocha c lolote mbwa huyu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaaa, eti kupanga koni!
 
Mwanitesa utd Vip Babu alikuwepo uwanjani leo nacheka saaaaana ha ha ha hahaha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…